FM Manyara
Maandamano
April 25, 2024, 9:25 pm
Tundu Lisu kuunguruma Manyara
Chadema kufanya maandamano ya amani mkoani Manyara Tarehe 26/04/2024 ,kwa lengo la kuishinikiza Serekali kupunguza ukali wa maisha kwa watanzania pamoja na kuwapatia katiba mpya, Na George Agustino Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kesho kinatarajia kufanya maandamano ya amani katika mkoa…