zero migogoro ya ardhi
18 May 2022, 3:21 pm
Bunifu 26 kati ya 200 zafanikiwa kuwa bidhaa na kutumika
Na;Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa bunifu 26 kati ya 200 zilizoendelezwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH) zimefanikiwa kuwa bidhaa na kutumika katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo maji na nishati. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia…
10 May 2022, 3:57 pm
Serikali yatoa ruzuku kwaajili ya kupunguza bei ya mafuta
Na;Yussuph Hassan. Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Serikali imetoa ruzuku ya Sh100 bilioni kwa ajili ya kupunguza bei ya mafuta nchini. Akiwasilisha taarifa ya serikali leo bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Nishati, January Makamba amesema ruzuku hiyo inatolewa kwa…
5 May 2022, 1:42 pm
Wakazi Jijini Dodoma waiomba serikali kutatua changamoto ya upandaji wa mafuta
Na; Benard Filbert. Kutokona na kubadilika kwa mfumo wa maisha kulikosababishwa na kupanda kwa bei ya nishati ya mafuta Duniani wakazi mkoani Dodoma wameiomba serikali kuangalia njia bora ya kutatua changamoto hiyo hali itakayosaidia kuwakwamua wananchi kiuchumi. Hayo yameelezwa na…
2 May 2022, 3:11 pm
Wafanyakazi wa Majumbani waomba serikali kutengeneza sera na miongozo
Na;Mindi Joseph . Wafanyakazi za Ndani wameomba serikali kutengeneza sera na miongozo itakayowasaidia kuwalinda na unyanyasaji na ukatili wa kijinsia pindi wanapotekeleza majukumu yao. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wafanyakazi za ndani ambapo wamesema changamoto wanazokumbana nazo ni…
15 July 2021, 11:38 am
Kampeni ya zero mogogoro ya ardhi Mkoani Dodoma yaongezewa siku
Na; Shani Nicolous. Baada ya uongozi wa Mkoa wa Dodoma kuandaa kampeni ya zero migogoro ya ardhi Mkoani Dodoma Serikali imeongeza siku ili zoezi hilo lidumu kwa muda wa mwezi mzima kwa ajili ya kuendelea kusikiliza na kutatua migogoro hiyo.…
8 July 2021, 11:11 am
Kampeni ya zero migogoro yafanikiwa kusikiliza kesi zaidi ya elfu moja kwa siku…
Na; Shani Nicolous. Kampeni ya zero migogoro ya ardhi Mkoani Dodoma imefanikiw kusikiliza kesi zaidi ya elfu moja kwa siku mbili huku baadhi ya kesi zikitatuliwa papo kwa papo na nyingine zilizohitaji kufika maeneo husika zikiendelea kufanyiwa kazi. Akizungumza na…