Dodoma FM

zero migogoro ya ardhi

18 May 2022, 3:21 pm

Bunifu 26 kati ya 200 zafanikiwa kuwa bidhaa na kutumika

Na;Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa bunifu 26 kati ya 200 zilizoendelezwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH) zimefanikiwa kuwa bidhaa na kutumika katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo maji na nishati. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia…

10 May 2022, 3:57 pm

Serikali yatoa ruzuku kwaajili ya kupunguza bei ya mafuta

Na;Yussuph Hassan. Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Serikali imetoa ruzuku ya Sh100 bilioni kwa ajili ya kupunguza bei ya mafuta nchini. Akiwasilisha taarifa ya serikali leo bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Nishati, January Makamba amesema ruzuku hiyo inatolewa kwa…