Watoto
12 April 2022, 4:26 pm
Serikali idhibiti ongezeko la watoto wa mitaani
Na; Shani Nicolous. Wakati siku ya mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani ikiadhimishwa kimataifa serikali imeombwa kuongeza nguvu na itilie mkazo jambo la kudhibiti ongezeko la watoto wa mtaani. Akizungumza na kituo hiki Elizabeth Msuya kutoka Taasisi isiyo ya kiserikali…
6 April 2022, 3:22 pm
Wazazi watakiwa kuwapeleka watoto katika vituo vya Afya
Na;Yussuph Hassan. Wazazi na walezi Mkoani Dodoma wameshauriwa kuhakikisha wanawapeleka Watoto wao katika vituo vya afya kufanya uchunguzi wa Magonjwa mbalimbali ambayo mara nyingi huwa kama yamesahauliwa katika jamii. Akizungumza na kituo hiki Dkt Matthew Gaudance kutoka kituo cha Afya…
20 January 2022, 4:47 pm
Kisedete kupambana na familia zinazo ruhusu watoto kuingia mtaani
Na; Benard Filbert. Shirika la KISEDET ambalo linajighulisha na kuwahudumia watoto wanaofanya kazi mtaani wamesema mwaka huu watajikita zaidi na familia zinazoruhusu watoto kuingia mtaani ili kukomesha hali hiyo. Hayo yameelezwa na Ibrahim Mtangoo Afisa ustawi wa jamii kutoka shirika…
22 October 2021, 11:54 am
Jamii yaaswa kuacha tabia ya kutelekeza watoto ili kupunguza wimbi la watoto wa…
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuacha tabia ya kutelekea watoto ili kupunguza wimbi la watoto wa mitaani. Wito huo umetolewa na mwanaharakati kutoka shirika lisilo la kiserikali la Kisedeti Ibrahm Mtangoo amesema kuwa wimbi kubwa la watoto wa…
6 October 2021, 1:11 pm
Kamati za ulinzi na usalama wa mtoto zatakiwa kuimarishwa ili kukabiliana na vit…
Na; Selemani Kodima. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Mwanaidi Ali Khamis ameagiza kuimarishwa kwa Kamati za ulinzi na usalama wa mtoto ili zitumike kukabiliana na vitendo vya ukatili. Mh. Mwanaidi ametoa agizo hilo…
16 September 2021, 12:59 pm
Jamii imetakiwa kuacha kuwafanyisha kazi za ndani watoto wenye umri chini ya mia…
Na; Benard Filbert. Jamii imetakiwa kuacha kuwachukua watoto chini ya miaka 18 kufanya kazi za ndani kwani kufanya hivyo ni kinyume na sheria za Nchi ya Tanzania. Hayo yameelezwa na afisa maendeleo ya jamii Mkoa wa Dodoma Bi. Honoratha Rwegasira…
15 September 2021, 2:30 pm
Serikali yaanzisha ukaguzi wa mabasi ya abiria ili kubaini usafirishaji wa watot…
Na; Mariam Matundu. Serikali kwa kushirikiana na Wadau wa kutokomeza watoto wanaoishi mitaani wameazimia kuanza ukaguzi wa magari ya abiria ili kubaini usafirishaji wa watoto kwa lengo la kuzuia ongezeko la watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani. Hayo yamefikiwa katika…
13 September 2021, 1:21 pm
Watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani wametajwa kuwa katika hatari ya kufanyiw…
Na;Mariam Matundu. Watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani wametajwa kuwa katika hatari ya kufanyiwa vitendo vya ukatili ikwemo kubakwa na kulawitiwa pamoja na kutumikishwa katika magenge yakihalifu. Hayo yamesemwa na katibu mkuu wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee…
7 September 2021, 2:32 pm
Serikali yapiga marufuku watoto wadogo kutumikishwa kuchunga mifugo
Na;Yussuph Hans. Serikali Nchini imepiga marufuku Watoto wadogo kutumikishwa kuchunga mifugo kwani wanahitajika kwenda Shule pamoja na kwamba hawamudu kundi kubwa la Mifugo. Hayo yamebanishwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa katika Mkutano…
4 May 2021, 9:02 am
Jamii yaonywa kuacha kuwatumikisha watoto katika biashara.
Na; Thadey Tesha. Katika kuondokana na wimbi la watoto wanaojihusisha na shughuli za biashara wakiwa na umri mdogo jamii imeshauriwa kuacha mara moja vitendo vya kuwatumikisha watoto wadogo katika shughuli za biashara kwani kwa kufanya hivyo ni kosa kisheria. Akizungumza…