Dodoma FM

Wajasiriamali

22 July 2021, 6:25 am

Wajasiriamali wanufaika na udhamini wa taasisi ya Pass Trust

Na;Mindi Joseph . Takribani Wajasiriamali milioni 1.7 wamenufaika na udhamini wa taasisi ya Pass Trust ambayo imelenga kupunguza umasikini nchini kwa kuwezesha upatikanaji wa mitaji kwa wakulima. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Kaimu Mkurungezi wa Pass Trust Annah…

24 March 2021, 1:14 pm

Wafanyabiashara Dodoma Wamshukuru Magufuli

Na; Shani  nicholous . Kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Magufuli bado wajasiriamali wadogo pamoja na wafanyabiashara mbalimbali wameendelea kumlilia na kumshukuru kwa kuwaboreshea mazingira yao ya biashara. Wakizungumza na Dodoma Fm wajasiriamali…