Wajasiriamali
22 July 2021, 6:25 am
Wajasiriamali wanufaika na udhamini wa taasisi ya Pass Trust
Na;Mindi Joseph . Takribani Wajasiriamali milioni 1.7 wamenufaika na udhamini wa taasisi ya Pass Trust ambayo imelenga kupunguza umasikini nchini kwa kuwezesha upatikanaji wa mitaji kwa wakulima. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Kaimu Mkurungezi wa Pass Trust Annah…
12 July 2021, 10:20 am
Ukosefu wa mitaji na masoko ya kuuzia bidhaa ni changamoto kwa wajasiriamali wen…
Na; Mariam Matundu. Baadhi ya wajasiriamali wenye ulemavu Mkoani Dodoma wamesema ukosefu wa mitaji na masoko ya bidhaa zao ni moja ya sababu zinazopelekea wengi wao kushindwa kujiinua kiuchumi. Mwita Marwa ambae ni mjasiriamali mwenye ulemavu amesema kutokana na changomoto hizo…
24 March 2021, 1:14 pm
Wafanyabiashara Dodoma Wamshukuru Magufuli
Na; Shani nicholous . Kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Magufuli bado wajasiriamali wadogo pamoja na wafanyabiashara mbalimbali wameendelea kumlilia na kumshukuru kwa kuwaboreshea mazingira yao ya biashara. Wakizungumza na Dodoma Fm wajasiriamali…