wagonjwa
6 December 2023, 12:20 pm
Dodoma watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya mvua zinazoendelea
Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zinatajwa kusababisha madhara mbalimbali ikiwemo vifo vya watu 63 vilivyotokea katika wilaya ya hanag mkoani manyara usiku wa kuamkia jumapili ya nov. 03 mwaka huu. Na Thadei Tesha. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha mafuriko…
30 May 2022, 5:01 pm
Uchafuzi wa mazingira wachagiza mabadiliko ya hali ya hewa
Na ;Victor Chigwada. Matokeo ya mabadiliko ya Hali ya hewa nchini na hata dunia kwa ujumla yamekuwa yakichangiwa na shughuli za uchafunzi wa mazingira ikiwa ni pamoja ukataji wa misitu ovyo Suala la matumizi ya mikaa nchini limekuwa chachu ya…
30 August 2021, 1:38 pm
Wananchi waaswa kuacha tabia ya kutelekeza wagonjwa hospitali
Na; Mariam Kasawa. Watu wanaotelekeza wagonjwa hospitali kwa sababu ya kutokumudu gharama za matibabu wameshauriwa kutokufanya hivyo na badala yake wafike katika ofisi za ustawi wa jamii katika hospitali aliyolazwa mgonjwa ili kupata msaada. Afisa ustawi wa jamii hospitali ya…