Dodoma FM

Wafanyabiashara

18 March 2021, 10:42 am

Vilio vyatanda wajasiriamali Dodoma

Na, Shani Nicholous. Wajasiriamali jijini Dodoma wamepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kuondokewa na aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Pombe Magufuli. Wakizungumza na taswira ya habari wajasiriamali hao wamesema kuwa watamkumbuka kwa mengi aliyowatendea kwani…