Dodoma FM

vijana

20 October 2025, 11:13 pm

Sillo awataka wananchi kujitokeza kupiga kura octoba 29

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu, wananchi wa kata za Riroda na Duru wilayani Babati, mkoani Manyara, wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki kupiga kura na kuwachagua viongozi kuanzia ngazi ya urais, ubunge hadi…

17 October 2025, 8:02 pm

Sillo aendelea kunadi ilani za uchaguzi CCM

Na Marino Kawishe Mgombea ubunge wa jimbo la uchaguzi la Babati Vijijini Daniel Baran Sillo ameendelea na ziara ya kunadi ilani ya chama cha mapinduzi CCM  nakuomba wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya October 29 mwaka huu kupiga kura na…

6 October 2025, 11:43 am

Vijana wahimizwa kujituma ili kuepukana na makundi

Aidha, amesema changamoto kubwa kwa vijana wengi wa sasa ni kutegemea wazazi wao badala ya kujituma na kupambana kwa ajili ya maisha yao, hali inayowadumaza kimaendeleo. Picha na Blog. Muhuri amesema ukosefu wa kipato umesababisha baadhi ya wasichana kujiingiza kwenye…

30 September 2025, 2:34 pm

Serikali, wadau waja na mikakati kilimo biashara

Kupitia mradi huo, vijana wanapewa mafunzo ya kilimo chenye tija, ujasiriamali, elimu ya fedha, na uelewa wa mnyororo wa thamani wa mazao. Na Seleman Kodima. Licha ya sekta ya kilimo kuchangia ajira kwa Watanzania kwa Asilimia 65.5, bado imeendelea kukumbwa…

25 September 2025, 9:45 am

Ndege amnadi mgombea udiwani Riroda

Na Marino Kawishe Kuelekea uchaguzi mkuu  wa Rais,Wabunge na Madiwani  unaotarajiwa kufanyika October 29 mwaka huu hapa Nchini Wananchi wa kata ya Riroda wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura wakiwa na kadi za mpiga kura ili kumchagua Rais Samia…

16 September 2025, 4:36 pm

Asia Halamga azindua kampeni Hanang’

Na Marino Kawishe Wananchi katika jimbo  la hanang mkoani manyara wametakiwa kujitokeza october 29 kwenye uchaguzi mkuu wakumchagua rais, wabunge  na madiwani. Akifungua kampeni za kumnadi mgombea ubunge wa jimbo la hanang kwa tiketi ya ccm, mjumbe wa mkutano mkuu…