Dodoma FM

valentine

17 February 2023, 1:55 pm

TARURA yakamilisha marekebisho ya barabara kata ya Chiboli

Marekebisho hayo yanapunguza adha ya wananchi wa kata hiyo kusafiri  Umbali wa kilometa zaidi ya ishirini na nane kwa usafiri wa pikipiki. Na Victor Chigwada                                                         Diwani wa Kata ya Chiboli  Wiliamu Teu ameishukuru mamlaka ya usimamizi barabara za vijijini na…

2 February 2023, 10:46 am

TARURA kutatua changamoto ya barabara Chamwino

Wakala wa barabara vijiji na mijini Tarura inatarajia kutatua changamoto ya barabara wilayani Chamwino kupitia bajeti ya mwaka 2023/2024. Na Seleman Kodima. Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Chamwino imesema inatarajia kutatau changamoto ya Miundombinu ya Barabara  katika…