uteuzi
14 September 2021, 2:10 pm
Jamii imetakiwa kuacha dhana potofu ya kufikiria mwanamke hawezi kuongoza baadhi…
Na; Benard Filbert. Kufuatia Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kumteua Dokta Stergomena Tax kuwa waziri wa ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa jamii imetakiwa kuondoa dhana potofu iliyopo kwenye jamii kuwa mwanamke hawezi kuongoza wizara…
13 September 2021, 12:57 pm
Rais Samia awataka mawaziri wapya kwenda kufanya kazi kwa bidii
Na; Fred Cheti. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu amewataka mawaziri wapya aliowateua siku ya jana kwenda kufanya kazi kwa bidii ili kuleta mabadiliko katika wizara walizochaguliwa na kwa watanzania kwa ujumla. Rais Samia ameyasema hayo…
13 September 2021, 8:30 am
Rais Samia afanya uteuzi wa nafasi mbalimbali
6 April 2021, 7:01 am
Rais Samia ateua, atengua Mkurugenzi ndani ya saa 12
Na; Mariam Kasawa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya petroli Tanzania (TPDC), Thobias Richard ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu kuteuliwa kwake. Rais Samia alimteua…