Dodoma FM

uteuzi

6 April 2021, 7:01 am

Rais Samia ateua, atengua Mkurugenzi ndani ya saa 12

Na; Mariam Kasawa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya petroli Tanzania (TPDC), Thobias Richard ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu kuteuliwa kwake. Rais Samia alimteua…