Dodoma FM
upimaji ardhi
12 August 2021, 11:48 am
Wakazi wa Ndachi watarajia ahueni ya migogoro ya ardhi baada ya zoezi la upimaji…
Na; Mariam Matundu. Kufutia mgogoro wa ardhi wa muda mrefu katika Mtaa wa Ndachi Jijini Dodoma hatimae wakazi wa Mtaa huo wanatarajia kupata ahuweni kutokana na kukamilika kwa upimwaji wa viwanja. Taswira ya habari imezungumza na mwenyekiti wa mtaa huo…
26 July 2021, 10:59 am
Mashamba ya zabibu kuto guswa katika zoezi la upimaji ardhi Dodoma
Na;Mindi Joseph. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini Mhe.Jabir Shekimweri amesema Mkoa hautagusa mashamba ya kilimo cha zabibu wakati zoezi la upimaji wa viwanja likiwa linaendelea jijini Dodoma. Akizungumza na Taswira ya habari Mh Jabir amesema Mkoa wa Dodoma wote…