Dodoma FM

Upasuaji

24 January 2024, 11:55 pm

Wafanyabiashara wa Mchele Bahi walia kukosa soko la uhakika

Mamlaka zinazohusika na suala hili zinatakiwa kuharakkisha upatikanaji wa huduma ya soko ili wakulima wa mpunga waweze kuuza mchele badala ya kuuza mpunga ambao wanaeleza kuwa faida yake ni ndogo. Na Bernad  Magawa. kukosekana kwa soko la uhakika la mchele…

7 July 2023, 6:12 pm

Msimu wa mavuno, bei ya mchele yashuka sokoni

Kwa sasa wastani wa bei ya mchele sokoni ni kati ya shilingi 2,300, 2,500 na kuendelea ambapo hapo awali ilikuwa kati ya shilingi 3,000, 3,500 na kuendelea na kwa mujibu wa wafanyabiashara wanasema kushuka kwa bei ya bidhaa hiyo kumetokana…

10 February 2023, 4:52 pm

Wakulima walalamikia wafanyabiashara wa mchele Bahi

Wakulima wa mpunga wilayani Bahi mkoani Dodoma wamelalamikia wafanya biashara wanaofuata mchele na Mpunga unaozalishwa wilayani humo kwa kuupa majina ya mchele wa mikoa mingine wanapouuza katika masoko mbalimbali hapa nchini tatizo linalopelekea kutotambulika kabisa kwa mchele wa Bahi kwenye…