Dodoma FM
uongozi
18 March 2024, 6:43 pm
Leo tunaangazia umri upi sahihi kwa kijana kuwania nafasi za uongozi wa serikali…
Hizo ni sifa chache tu, lakini leo tumezungumza na mwanamke ambaye ni kiongozi wa serikali ya mtaa wa Mpamaa ili kujua ilikuwa rahisi au ngumu kiasi gani yeye kuwania nafasi hiyo hadi kuwa kiongozi. Na Seleman Kodima.Kwa mujibu wa kanuni…
26 November 2021, 12:36 pm
Wanawake wapewe elimu ya kugombea nafasi mbalimbali
Na; Mariam Matundu. Tume ya taifa ya uchaguzi imeshauriwa kuwa inatoa elimu endelevu ya chaguzi mbalimbali hapa nchi ili kuwezesha wanawake kuelimika zaidi na kujitokeza kugombea nafasi za uongozi zinazojitokeza. Hayo yamesemwa na mbunge wa viti maalumu mkoa wa Mbeya…