Dodoma FM
Dodoma FM
13 November 2025, 4:48 pm
Kukamilika kwa bwawa hilo itawasaidia wananchi kufanya kilimo cha mwaka mzima tofauti na hapo awali ambapo kilimo kilitegemea msimu mmoja wa mvua. Na Victor Chigwada. Licha ya ujenzi wa bwawa la umwagiliaji kata ya Membe, wilaya ya Chamwino jijini Dodoma…
7 February 2025, 4:15 pm
Mradi huo unatarajia kunufaisha wakulima 27,600 nchi nzima, huku kila Halmashauri ikitarajiwa kupata visima kumi(10). Na Mariam Kasawa.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule amemtaka Mkandarasi wa kuchimba visima vya umwagiliaji katika Mkoa huu, kuhakikisha kuwa anakamilisha mradi huo…
30 July 2024, 6:26 pm
Mpango huu unalenga kuwa na visima vyenye uwezo wa kuhudumia wakulima na umelenga kuinua sekta ya Kilimo cha Umwagiliaji na kuchochea ukuaji wa uchumi nchini. Na Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Wizara ya Kilimo inatarajia kuchimba…
12 August 2022, 11:38 am
ZANZIBAR Mwenyekiti wa Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya kusimamia Ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa Mhe Machano Othman Said amewataka watendaji wa mazingira kuhakikisha kuwa sheria za mazingira zinafuatwa katika kuwalinda wanavikundi wanaojihusisha na utunzaji wa mazingira. Akizungumza…
28 October 2021, 11:17 am
Na;Mindi Joseph. Mhandisi wa Umwagiliaji amewataka viongozi katika Skimu za Umwagiliaji kusimamia kikamilifu zoezi la ukusanyaji ada na tozo kwa lengo la kutunisha mfuko wa Umwagiliaji. Akizungumza na Taswira ya habari kutoka Mkoani Iringa Mhandisi wa Umwagiliaji Onesmo Kahoggo amesema…
7 October 2021, 11:59 am
Na;Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inatarajia kuanza kampeni mwezi huu ya kutoa elimu kwa wakulima kuchangia ada kwa ajili ya kuendeleza kilimo cha umwagiliaji pamoja na kutatua changamoto ya skimu mbalimbali Nchini. Hayo yanajiri wakati Tanzania inakadiriwa kuwa…