Dodoma FM

umwagiliaji

13 November 2025, 4:48 pm

Wananchi Membe wahamasishwa kilimo cha umwagiliaji

Kukamilika kwa bwawa hilo itawasaidia wananchi kufanya kilimo cha mwaka mzima tofauti na hapo awali ambapo kilimo kilitegemea msimu mmoja wa mvua. Na Victor Chigwada. Licha ya ujenzi wa bwawa la umwagiliaji kata ya Membe, wilaya ya Chamwino jijini Dodoma…

7 February 2025, 4:15 pm

Mkandarasi uchimbaji visima atakiwa kukamilisha kazi kwa wakati

Mradi huo unatarajia kunufaisha wakulima 27,600 nchi nzima, huku kila Halmashauri ikitarajiwa kupata visima kumi(10). Na Mariam Kasawa.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule amemtaka Mkandarasi wa kuchimba visima vya umwagiliaji katika Mkoa huu, kuhakikisha kuwa anakamilisha mradi huo…

30 July 2024, 6:26 pm

NIRC yatarajia kuchimba visima 60,000 nchini

Mpango huu unalenga kuwa na visima vyenye uwezo wa kuhudumia wakulima na umelenga kuinua sekta ya Kilimo cha Umwagiliaji na kuchochea ukuaji wa uchumi nchini. Na Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Wizara ya Kilimo inatarajia  kuchimba…

7 October 2021, 11:59 am

Tume ya Taifa ya umwagiliaji yatarajia kutoa elimu kwa wakulima

Na;Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inatarajia kuanza kampeni mwezi huu ya kutoa elimu kwa wakulima kuchangia ada kwa ajili ya kuendeleza kilimo cha umwagiliaji pamoja na kutatua changamoto ya skimu mbalimbali Nchini. Hayo yanajiri wakati Tanzania inakadiriwa kuwa…