Umeme
1 March 2023, 4:00 pm
Watendaji wa kata Bahi waishukuru Serikali
Hapo awali watendaji hao walikuwa na changamoto kubwa ya usafiri hasa katika kuzungukia kata zao lakini kwa sasa wanaweza kufuatilia mianya yote ya upotevu wa mapato kwa kutumia pikipiki walizopewa kuhakikisha wanakuza pato la halmashauri na serikali kwa ujumla. Na.…
24 February 2023, 3:47 pm
Wanawake watakiwa kuacha kukimbilia mikopo Mitaani
Mikopo mingi ya mitaani imekuwa inapelekea kukosa faida na kushindwa kujiwekea akiba Na Mariam Kasawa. Wanawake wametakiwa kuacha kukimbilia mikopo ya Mitaani badala yake wajikite kuomba mikopo inayo tolewa na halmashauri ili waweze kunufaika na mikopo hiyo. Akizungumza na Dodoma…
23 February 2023, 5:13 pm
e- GA kuimarisha mtandao kwa miaka 10 ijayo
Mamlaka ya Serikali Mtandao ina mpango wa kuhakikisha inajenga Serikali ya Kidijiti Katika kipindi cha miaka 10 ijayo. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imesema Katika kipindi cha miaka 10 ijayo itahakikisha huduma za mtandao maeneo yote zinapatikana.…
17 February 2023, 11:49 am
Wakurugenzi watakiwa kutumia data za sensa kupanga sera na mipango
Wakurugenzi wa sera na mipango wametakiwa kuhakikisha wanatumia data za sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 kupanga mipango jumuishi. Ofisi ya taifa ya Takwimu imewataka wakurugenzi wa sera na mipango kuhakikisha wanatumia data za sensa ya watu na…
15 February 2023, 5:28 pm
Upotevu wa wastani wa Shilingi 380,000 kwa siku umebainika
Upotevu wa wastani wa Shilingi 380,000 kwa siku umebainika katika makusanyo ya mapato ya stendi ambayo ni sawa na zaidi ya milioni 11 kwa mwezi Mkoani Dodoma . Na Mariam Matundu. Hayo ni kwa mujibu wa mkuu wa Takukuru mkoa…
10 February 2023, 2:18 pm
Vijana Chilonwa watakiwa kuchangamkia fursa ujenzi wa chuo cha Veta
Mwaka jana Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda alisema kuwa Serikali inayo azma ya kujenga Chuo cha Ufundi Stadi katika kila Mkoa na Wilaya nchini. Katika mwaka huu wa fedha 2022/2023, Serikali imetenga kiasi cha Shilingi…
3 September 2021, 1:15 pm
Wakazi wa Mkoka walalamikia tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara
Na ;Victor Chigwada. Changamoto ya kukatika kwa umeme pamoja na uhafifu wa upatikana wa huduma hiyo katika Kata ya mkoka Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma umeelezwa kuchangia kushusha uchumi wa wananchi kwa ujumla. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya…
26 August 2021, 1:44 pm
Mradi wa kufua umeme Zuzu watajwa kufikia asilimia 98.
Na;Mindi Joseph . Mradi wa kituo cha kufua umeme Zuzu umetajwa kufikia asilimia 98 huku ukitarajiwa kufunguliwa Rasmi Septemba 30 mwaka huu. Mradi huo utakuwa na uwezo wa kusambaza umeme ndani ya Nchi pamoja na Nchi jirani.Katika Mkoa wa Dodoma…
15 July 2021, 12:05 pm
Wakazi wa kata ya Iyumbu waishukuru serikali kwa kuwatatulia changamoto ya umeme
Na; Victor Chigwada. Wananchi katika Kata ya Iyumbu Jijini Dodoma wameishukuru Serikali kwa jitahada walizo zichukua katika kutatua changamoto ya umeme ndani ya Kata hiyo. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema wanayo furaha kuona muda si…
13 July 2021, 1:20 pm
Moleti waiomba Serikali kuwapelekea huduma ya umeme
Na; Benard Filbert. Wakazi wa Kijiji cha Moleti Wilaya ya Kongwa wameiomba Serikali kuharakisha kuwaunganishia huduma ya umeme wa REA kutokana na kuchangishwa fedha takribani mwaka mmoja uliopita. Wamesema hayo wakati wakizungumza na Dodoma fm ambapo wamedai kuwa baadhi ya…