Dodoma FM
ukarabati
4 February 2023, 5:53 pm
Wito watolewa kwa vijana wa vyuo vikuu
Wito umetolewa kwa jamii hasa vijana wa vyuo kujijengea uwezo wa kusaidia kutoa huduma ya kwanza pindi yanapotokea majanga ili kuokoa maisha ya wahanga waliopata matatizo mbalimbali ikiwemo ajali Na Fred Cheti. Wito huo umetolewa na Gofrey Mutasilwa Mratibu wa…
7 March 2022, 12:43 pm
Serikali yaombwa kufanya ukarabati katika shule kongwe za msingi
Na; Mariam Matundu. Serikali imeombwa kufanya ukarabati wa majengo katika shule kongwe za msingi ili kukabiliana na changamoto ya uchakavu wa majengo unaoathiri ufundishaji hasa kwa watoto wenye ulemavu. Shule ya msingi Iboni iliyopo wilayani Kondoa ni miongoni mwa shule…