Dodoma FM

ukarabati

4 February 2023, 5:53 pm

Wito watolewa kwa vijana wa vyuo vikuu

Wito umetolewa kwa jamii hasa vijana wa vyuo kujijengea uwezo wa kusaidia kutoa huduma ya kwanza pindi yanapotokea majanga ili kuokoa maisha ya wahanga waliopata matatizo mbalimbali ikiwemo ajali Na Fred Cheti. Wito huo umetolewa na Gofrey Mutasilwa Mratibu wa…