Dodoma FM
Ujasiriamali
3 December 2020, 2:56 pm
ANSAF:Asilimia 10 pekee ya vijana yajihusisha na kilimo nchini kati ya 65
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Sekta ya kilimo ,viwanda na miundombinu zimetajwa kuwa na ufanisi wa kutosha katika kuondoa umasikini na njaa ukilinganisha na sekta zingine za kiuchumi hapa nchini.Kauli hiyo imetolewa na waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda wakati akihutubia katika mkutano…