uhaba wa maji
11 August 2021, 12:35 pm
Ongezeko la watu katika kijiji cha Sunya Kiteto lapelekea shida ya maji kukikab…
Na; Selemani Kodima. Imeelezwa kuwa Ongezeko la watu na mahitaji ya maji katika kata ya Sunya wilayani kiteto imesababisha kuongezeka kwa changamoto ya maji katika baadhi Vijiji hususani Kijiji cha Sunya. Hayo yameelezwa na Baadhi ya Wanakijiji wa kijiji cha…
24 June 2021, 10:24 am
Kata ya majeleko yakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama
Na; Victor Chigwada. Wakazi wa Kata ya Majeleko Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuwapelekea huduma ya maji safi na salama. Wakizungumza na taswira ya habari wakazi hao wamesema wanakabiliwa na tatizo la maji kwa muda mrefu sasa hali inayo walazimu akina…
2 June 2021, 9:27 am
Wakazi wa chitelela wakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa chitelela Kata ya Nzuguni Jijini Dodoma wameendelea kukabiliwa na changamoto ya kukosa huduma ya maji safi na salama kwa muda mrefu. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi wa eneo hilo wamedai…