Dodoma FM
uchangiaji damu
10 March 2022, 3:14 pm
Jamii yatakiwa kuacha imani za kishirikina juu ya uchangiaji damu
Na; Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kuachana na imani za kishirikina juu ya suala la kuchangia damu ili kupunguza idadi ya wagonjwa wanaofariki kutokana na kukosa damu. Akizungumza katika mahojiano maalum na kipindi cha taswira ya habari Daktari kutoka katika hospitali…