Dodoma FM

TACAIDS

6 March 2023, 11:40 am

Mpwapwa yatarajia kuanza  kilimo cha umwagiliaji

Bwawa hilo ambalo linajengwa kati ya kijiji cha Chunyu na Ng’ambi wilayani Mpwapwa hadi sasa umefikia asilimia 30 huku ukitarajiwa kukamilika ifikapo Novemba mwaka huu. Na Mariam Kasawa Jumla ya shilingi bilioni 27 zimetolewa ili kukamilisha uchimbaji wa bwawa litakalo…

16 February 2023, 3:46 pm

Bilioni 1.172 kujenga barabara kongwa

Wakala wa barabara za mijini na vijijini Tanzania (TARURA) wilayani kongwa wanatarajia kutumia shilingi Bilioni 1.172 kwaajili ya kujenga na kukarabati miundombinu ya barabara katika bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024. Na Bernadetha Mwakilabi. Meneja wa TARURA Kongwa injinia Peter…

15 February 2023, 11:14 am

Baraza La Taifa la Ujenzi lajipanga kutekeleza Majukumu Tisa

Na Fred Cheti. Baraza La Taifa la Ujenzi limesema kwa Mwaka 2023 limejipanga kutekeleza Majukumu Tisa ambapo ni pamoja na kukamilisha muongozo wa gharama za ujenzi wa barabara Nchini kwa kuandaa gharama za msingi za Mkandarasi katika kutekeleza kazi mbalimbali…

3 February 2023, 11:39 am

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ataka Ujenzi ukamilike

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amewataka wasimamizi wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Itiso kilichopo wilayani Chamwino kuharakisha ukamilishaji wa ujenzi wa kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa wananchi. Na Fred Cheti Mkuu huyo wa…

30 April 2021, 12:01 pm

TACAIDS yawajengea uwezo wasichana kutambua haki zao

Na; Mariam Matundu. Tume ya kudhibiti  Ukimwi nchini TACAIDS  chini ya  uratibu wa masuala ya ukimwi kwa mtazamo wa kijinsia imetoa mafunzo kwa wasichana na wanawake wanaoishi na virusi vya ukimwi ili kuwapatia utambuzi wa haki zao za msingi katika maeneo yao. Akizungumza…