Dodoma FM
Shuleni
31 March 2021, 11:43 am
Miundombinu bora ni chachu ya ufaulu katika shule za umma
Na; Mindi Joseph Imeelezwa kuwa uboreshaji wa miundombinu na usimamizi makini unahitajika kwa shule za Umma ili kuongeza morali ya kufanya vizuri kwa wanafunzi Mkoani Dodoma. Kwa mujibu wa matokeo ya Baraza la Mitihani Tanzania NECTA kuanzia mwaka 2018 hadi…