Dodoma FM
Dodoma FM
27 December 2023, 3:30 pm
Baraza la Uuguzi na ukunga Nchini mpaka sasa linajumla ya wauguzi na wakunga 49994 ambao wanatoa huduma kwenye zahanati ,vituo vya afya pamoja na hospitali za wilaya ,mikoa na rufaa. Na Mariam Matundu. Wauguzi na wakunga 4166 wanatarijia kufanya mtihani…
4 July 2022, 1:15 pm
Na; Benard Filbert. Wauguzi na wakunga wameaswa kuepuka kupokea rushwa katika maeneo yao ya kazi na kuwahudumia wagonjwa kwa uaminifu ili kulinda na kutunza heshima ya taaluma hiyo. Hayo yameelezwa na Jane Mazigo mkuu wa idara ya usajili na maadili…
16 March 2022, 1:57 pm
Na; Mariam Matundu. Watu wenye ulemavu wameiomba serikali kuwaelimisha juu ya umuhimu wa sense kwa kundi hilo ili waweze kushiriki kikamilifu kuhesabiwa pindi zoezi litakapoanza. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya watu wenye ulemavu wamesema sense ni muhimu kundi…
28 October 2021, 7:39 am
Na;Mindi Joseph. Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Anne Makinda ambaye ni Spika Mstaafu wa Bunge amezitaka Asasi za Kirai nchini kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa sensa kufuatia kuwepo upotoshaji wa sensa kuhusiana na chanjo ya…
15 September 2021, 2:48 pm
Na ;Shani Nicolous . Siku moja baada ya uzinduzi wa mpango wa uelimishaji na uhamasishaji wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 uliofanyika jana baadhi ya wananchi wameeleza kuwa mpango huo utasaidia kuongeza uelewa katika jamii juu ya…