Dodoma FM

Nzuguni

28 March 2024, 7:36 pm

Nzuguni A waishukuru Serikali kwa kuchonga barabara

Ni msimu wa kiangazi tu Barabra hii ilikuwa inapitika Lakini Msimu wa masika ilikuwa ni kikwazo. Na Mindi Joseph. Wakazi wa Nzuguni A wameishukuru Tarura kwa Uchongaji wa barabara Kilometa 9.780 na uzibaji wa mashimo kwa kifusi katika mtaa huo…