Dodoma FM
Nanenane
11 February 2021, 2:25 pm
Muda huu utumike kutoa elimu kwa wakulima
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kutokana na kusitishwa kwa maonesho ya Nanenane mwaka huu,wito umetolewa kutumia muda huu kutoa elimu kwa wakulima juu ya umuhimu wa nane nane na nini wanapaswa kufanya katika maonesho hayo ili yawanufaishe kwa miaka ijayo. Hayo yameelezwa…