Dodoma FM
Mwanza
24 March 2021, 6:21 am
Mwili Wa Hayati Dkt. John Magufuli wawasili Jijini Mwanza
Na; Mariam Kasawa. Wakazi wa jiji la Mwanza na maeneo ya jirani tayari wamewasili katika uwanja wa CCM Kirumba kwa ajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyefariki Dunia…