Dodoma FM
mitatu ya Samia
27 March 2024, 3:51 pm
Wanawake Mnadani wazungumzia miaka mitatu ya Rais Samia
Itakumbukwa kuwa Rais dkt Samia Suluhu Hassan ndie Rais wa kwanza mwanamke hapa nchini Tanzania na Afrika Mashariki ambapo aliapishwa rasmi march 19 mwaka 2021. Na Mariam Matundu.Ikiwa ni miaka mitatu tangu Rais Samia aingie madarakani maendeleo katika sekta mbalimbali…