Dodoma FM
Mitaro ya maji
29 February 2024, 4:06 pm
Ubovu wa mitaro wapelekea maji kutuama kwa wingi Kizota
Ni mtaro ambao ulitengenezwa pasipo kuzingatia vigezo vya ujenzi. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa Mtaa wa Relini Kata ya kizota wamelalamika kutuama kwa maji ya mvua kutokana na ubovu wa mitaro ya kutiririsha maji. Ni mtaro ambao ulitengenezwa pasipo kuzingatia…