Dodoma FM

Mitaro ya maji

29 February 2024, 4:06 pm

Ubovu wa mitaro wapelekea maji kutuama kwa wingi Kizota

Ni mtaro ambao ulitengenezwa pasipo kuzingatia vigezo vya ujenzi. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa Mtaa wa Relini Kata ya kizota wamelalamika kutuama kwa maji ya mvua kutokana na ubovu wa mitaro ya kutiririsha maji. Ni mtaro ambao ulitengenezwa pasipo kuzingatia…