migogoro
23 January 2023, 1:13 pm
Wananchi wahitaji elimu zaidi juu ya wiki ya sheria
Na; Mariam Matundu. Wanachi jijini Dodoma wameshauri elimu zaidi itolewe juu ya ufahamu wa wiki ya sheria ili kutoa mwamko kwa watu wengi kutembelea katika vyombo husika kupata msaada wa kisheria Wamesema watu wengi hawajui nini kinaendelea katika wiki hii…
22 January 2023, 10:59 am
Wiki ya Sheria yazinduliwa Jijini Dodoma
Na; Fred Cheti. Makamu wa Rais wa Jamhuriya muungano wa Tanzania dkt. Philp Mpango amesema uchumi endelevu wa wananchi utafanikiwa iwapo vyombo vya utoaji haki vitatimiza wajibu wake katika kusikiliza na kutoa haki kwa wananchi bila upendeleo wowote. Dkt. Mpango…
2 May 2022, 3:11 pm
Wafanyakazi wa Majumbani waomba serikali kutengeneza sera na miongozo
Na;Mindi Joseph . Wafanyakazi za Ndani wameomba serikali kutengeneza sera na miongozo itakayowasaidia kuwalinda na unyanyasaji na ukatili wa kijinsia pindi wanapotekeleza majukumu yao. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wafanyakazi za ndani ambapo wamesema changamoto wanazokumbana nazo ni…
27 July 2021, 1:13 pm
Jamii yatakiwa kujifunza ili kuepusha matukio yanayo tokea
Na; Shani Nicolous. Kufuatia kwa matukio mbalimbali ya moto katika jamii hususani wanawake kuchoma nyumba za wananume kwa wivu wa mapenzi jamii imetakiwa kufunguka na kujifunza namna ya kuepusha matukio hayo. Akizungumza na Dodoma fm Mwanasaikolojia kutoka shirika la kisedet…