Dodoma FM
Mei mosi
29 April 2021, 1:36 pm
Wafanyakazi waeleza matarajio yao kuelekea siku ya wafanyakazi (Mei mosi)
Na; Benard Filbert. Kuelekea maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Mei mosi matarajio ya wafanyakazi wengi nchini ni kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja ili kuboresha utendaji kazi kwa maslahi yao na nchi. Hayo yamesemwa na Bw.Yusuph Mhindi ambaye ni mmoja wa…