mdomo wazi
7 September 2023, 12:22 pm
Madereva jijini Dodoma walia na bei ya mafuta
Serikali imetangaza bei mpya ya mafuta ambapo kwa sasa wastani wa bei kikomo kwa mkoa wa Dodoma ni shilingi 3271 kwa mafuta ya petrol, shilingi 3318 kwa mafuta ya diseli na mafuta ya taa shilingi 3002. Na Katende. Wamiliki wa…
5 May 2022, 1:42 pm
Wakazi Jijini Dodoma waiomba serikali kutatua changamoto ya upandaji wa mafuta
Na; Benard Filbert. Kutokona na kubadilika kwa mfumo wa maisha kulikosababishwa na kupanda kwa bei ya nishati ya mafuta Duniani wakazi mkoani Dodoma wameiomba serikali kuangalia njia bora ya kutatua changamoto hiyo hali itakayosaidia kuwakwamua wananchi kiuchumi. Hayo yameelezwa na…
10 December 2021, 12:50 pm
Jamii yatakiwa kuacha imani potofu juu ya mtoto anae zaliwa na tatizo la mdomo w…
Na ;Benard Filbert. Wakazi jijini Dodoma wameiomba serikali kutoa elimu ya kutosha katika jamii kutokana na imani potofu hususani kwa watoto wenye tatizo la mdomo wazi ambao wamekuwa wakihusishwa na imani za kishirikina. Hayo yameelezwa na wakazi hao wakati wakizungumza…
29 July 2021, 10:52 am
Akina mama wajawazito watakiwa kuzingatia lishe bora ili kuepuka kujifungua mto…
Na; Benard Filbert. Akina mama wajawazito wameshauriwa kuzingatia lishe bora kwa kil mlo ili kuepuka kujifungua mtoto mwenye matatizo ya mdomo wazi. Ushauri huo umetolewa na daktari kutoka hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma (General) daktari Peter Mabula wakati…