Dodoma FM

mdomo wazi

7 September 2023, 12:22 pm

Madereva jijini Dodoma walia na bei ya mafuta

Serikali imetangaza bei mpya ya mafuta ambapo kwa sasa wastani wa bei kikomo kwa mkoa wa Dodoma ni shilingi 3271 kwa mafuta ya petrol, shilingi 3318 kwa mafuta ya diseli na mafuta ya taa shilingi 3002. Na Katende. Wamiliki wa…