mazao
12 December 2023, 9:04 am
Watekelezaji wa mpango wa makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto watakiwa kutenga…
Mkutano huo umezinduliwa leo jijini Dodoma ambapo umeambatana na ufungunguzi wa Mwongozo Jumuishi wa Taifa wa Utekelezaji wa Mpango wa (PJT-MMMAM). Na Mwandishi wetu. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt. Dorothy Gwajima ametoa rai kwa…
22 June 2023, 3:18 pm
Wabobezi wa masuala ya jinsia waagizwa kutambua ahadi za nchi
Programu hiyo ya kizazi chenye usawa itakayotekelezwa kwa miaka mitano (2021/22 – 2025/26). Na Mariam Matundu. Wataalamu wabobezi wa masuala ya jinsia wameagizwa kutambua masuala yaliyowekewa Ahadi za nchi katika Jukwaa la kizazi chenye Usawa (GEF) ili kutekeleza Programu ya…
1 November 2021, 12:27 pm
Wakazi wa Farkwa waelimishwa juu ya uhifadhi sahihi wa mazao ya chakula
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa kijiji cha Farakwa wilayani Chemba umesema unaendelea kutoka elimu kwa wananchi wake juu ya umuhimu wa matumizi sahihi ya chakula na uhifadhi wa mazao . Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa kijiji cha Farakwa Bw Costa…