Dodoma FM

mawaziri

11 January 2022, 2:35 pm

Viongozi wapya walio apishwa watakiwa kufanya kazi kwa bidii

Na; Thadei Tesha. Wananchi jijini Dodoma wamewaomba viongozi wapya walioapishwa kufanya Kazi kwa bidii kwa lengo la kuwaletea wananchi maendeleo. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi jijini hapa wamesema viongozi hao wanao wajibu mkubwa wa kuhakikisha wanafanya Kazi kwa bidii…