Dodoma FM
matokeo
9 July 2021, 11:07 am
Baraza la Taifa la mashirika yasiyo kuwa ya kiserikali NaCoNGO latangaza rasmi v…
Na; Mindi Joseph. Baraza la Taifa la Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali (NaCoNGO) limetangaza rasmi viongozi wapya waliochaguliwa nafasi za ngazi ya kitaifa watakaoongoza kwa kipindi cha miaka mitatu. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo,Julai 8,2021,Mwenyekiti wa Kamati ya mpito iliyosimamia uchaguzi…