Dodoma FM
Dodoma FM
3 February 2023, 3:54 pm
Mama mlezi aliyemshambulia kwa kipigo kikali mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya Msingi Bukala Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza na kumjeruhi vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake kwa madai ya kukojoa kitandani hatimaye amekamatwa na jeshi la Polisi wilayani…
16 February 2022, 3:43 pm
Na; Thadei Tesha. Wananchi jijini Dodoma wamewataka viongozi wa mitaa mbalimbli jijini hapa kuendelea kuhamasisha kufika katika ofisi za maliasili kuchukua miche ya kupanda katika maeneo yao Wakizungumza na taswira ya habarri baadhi ya wananchi jijini hapa wamesema ni wakati…