Dodoma FM

makamu wa rais

30 March 2021, 12:15 pm

Dkt.Mpango apitishwa kuwa makamu wa rais bila kupingwa

Na,Mindi Joseph. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan amemteua Dk.Phillipo Mpango aliyekuwa waziri wa Fedha na Mipango  kuwa makamu wa Rais na kupitishwa na Bunge kwa asilimia 100. Jina la Mpango limesomwa Bungeni jijini Dodoma leo…