Dodoma FM
Dodoma FM
17 October 2025, 3:39 pm
Wachimbaji wadogo wa madini wametakiwa kutumia vifaa vya kinga migodini ili kuepuka madhara ya kemikali yanayoweza kuathiri afya zao. Picha na Blogers. Kwa kuzingatia matumizi ya vifaa sahihi wakati wa uchimbaji wa madini wataweza kuepukana na athari za kiafya zinazoweza…
22 July 2025, 10:02 pm
Kwa mujibu wa baadhi ya raia wa Burundi wameiambia Storm FM kuwa wanakimbilia mkoa wa Geita kwa kuwa una fursa lukuki za kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Wananchi mkoani Geita kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji wamefanikiwa kuwakamata raia wa kigeni…
16 July 2025, 5:52 pm
Oparesheni ya kusaka raia wa kigeni wanaoishi nchini kinyume na utaratibu mkoani Geita imezaa matunda Na Kale Chongela: Idara ya Uhamiaji Mkoani Geita katika oparesheni zake imefanikiwa kuwakamata nakuwarudisha makwao raia wa kigeni 126 waliongia nchini kinyume Cha Sheria Kutoka…
1 March 2022, 3:34 pm
Na; Victor Chigwada. Sekta ya madini Jijini Dodoma imekuwa kiungo muhimu katika nyanja ya ukusanyaji mapato licha ya baadhi ya migodi pamoja na jamii ya maeneo husika kutokunufaika kwa kiasi kikubwa. Wananchi wa kijiji cha Nholi Kata ya Mpalanga wamesema…
5 November 2021, 12:59 pm
Na;Mindi Joeph . Waziri wa Madini Dotto Biteko amesema Mchango wa sekta ya madini umeongezeka na kufikia asilimia 7.7 ya pato la taifa katika robo ya pili ya mwaka 2021 huku ukitarajiwa kufikia asilimia 10 ifikapo mwaka 2025. Akizungumza leo…
29 June 2021, 2:09 pm
Na ;Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Handali iliyopo Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wameiomba serikali kuwapelekea wataalamu wa musuala ya madini ili kuwapatia elimu ya uchimbaji itakayo wawezesha kuchimba kwa ufanisi. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi…