Dodoma FM
madawati
13 December 2021, 2:50 pm
Uwepo wa madawati ya jinsia katika vyuo vikuu nchini ni chachu ya kupunguza vite…
Na;Yussuph Hans. Kufuatia uanzishwaji wa Madawati ya jinsia katika Vyuo Vikuu Nchini hatua hiyo imeelezwa kuwa itasaidia kwa kiasi kupunguza Rushwa ya Ngono pamoja na matukio ya ukatili wa kijinsia. Wakizungumza na Taswira ya Habari wakazi Mkoani Dodoma wamesema kuwa…
30 March 2021, 2:21 pm
Serikali yaanzisha madawati ya ulinzi kwa watoto mashuleni
Na. Yussuph Hans Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kuratibu uanzishwaji wa madawati ya Ulinzi kwa Watoto katika shule za msingi na sekondari Nchini. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee…