Dodoma FM
Madarasa
20 July 2021, 12:37 pm
Mbunge wa jimbo la Bahi aahidi kukamilisha vyumba vya madarasa katika kata ya…
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kata ya Mpalanga Wilaya ya Bahi wameishukuru serikali kupitia mbunge wa jimbo hilo Mh. Kenneth Nollo kwa kuwaahidi kukamilisha vyumba vya madarasa pamoja na ukarabati wa kisima cha maji. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi…