Dodoma FM
Kwaheri shujaa
24 March 2021, 9:09 am
Rais Magufuli ameacha alama njema kwa Taifa la Tanzania
Na ;Mariam Kasawa. Waziri wa Nchi ofisi ya waziri mkuu, Sera,Bunge,ajira ,vijana na wenye ulemavu Bi. Jenista Mhagama amesema kamati iliyo pewa kazi ya kufanya maandalizi yote ya mazishi imekamilisha maandalizi hayo na bado inaendelea kusimamia mambo mbalimbali. Bi. Mhagama ameyasema hayo…