Dodoma FM
kumiliki ardhi
6 September 2021, 11:38 am
Jamii yatakiwa kuwapa wanawake kipaumbele cha kumiliki rasilimali
Na;Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa Wanawake wamekuwa na Mchango mkubwa katika familia, Jamii ikiwapa kipaumbele cha kumiliki Rasilimali. Hayo yamebainishwa na Afisa Maendeleo ya Vijana Halmashauri ya Jiji la Dodoma Bw Mfungo Manyama wakati akizungumza na kituo hiki ambapo amesema ni…