Dodoma FM
kiswahili
1 July 2021, 2:22 pm
Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kuipa kipaumbele lugha ya kiswahili
Na; Yussuph Hans. Moja ya lugha iliyoenea katika Mataifa ya Afrika ni Kiswahili kutokana jitihada mbalimbali zinazofanyika katika kukuza Lugha hiyo na haina budi kila Mtanzania kujivunia Lugha ya Kiswahili. Hayo yamesemwa na Kaimu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Tanzania…