Dodoma FM
kisiki hai
19 May 2022, 3:29 pm
Halmashauri zatakiwa kutenga maeneo maalum kwaajili ya shughuli za ubunifu
Na;Yussuph Hassan. Wito umetolewa kwa halmashauri Nchini kutenga maeneo maalum kwa ajili ya shughuli za kukuza bunifu zinazofanywa na wabunifu mbalimbali. Wito huo umetolewa na makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango katika kilele cha…
19 August 2021, 1:06 pm
Wakazi wa Dodoma watakiwa kuzingatia elimu ya kisiki hai.
Na;Yussuph Hans. Wakulima na wafugaji Mkoani Dodoma wameshauriwa kuzingatia elimu ya kisiki hai itakayowasaidia kuwa na kilimo bora pamoja na malisho ya kutosha kwa wanyama. Ushauri huo umetolewa na Mratibu wa Mradi wa kisiki hai Wilaya ya mpwapwa Olipa chipwaza…