Dodoma FM

kisiki hai

19 August 2021, 1:06 pm

Wakazi wa Dodoma watakiwa kuzingatia elimu ya kisiki hai.

Na;Yussuph Hans. Wakulima na wafugaji Mkoani Dodoma wameshauriwa kuzingatia elimu ya kisiki hai itakayowasaidia kuwa na kilimo bora pamoja na malisho ya kutosha kwa wanyama. Ushauri huo umetolewa na Mratibu wa Mradi wa kisiki hai Wilaya ya mpwapwa Olipa chipwaza…