kilimo himilivu
17 February 2023, 12:36 pm
Ujenzi kiwanja cha Ndege Msalato watakiwa kuongezewa kasi
Machi 13, 2020 Tanzania na bank ya maendeleo ya afrika zilitiliana saini mkataba wa mkopo wa masharti nafuu wa Dola 495.59 milioni za Marekani (Sh1.14 trilioni) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu ya maendeleo ikiwemo uwanja wa ndege wa…
3 February 2023, 11:39 am
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ataka Ujenzi ukamilike
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amewataka wasimamizi wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Itiso kilichopo wilayani Chamwino kuharakisha ukamilishaji wa ujenzi wa kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa wananchi. Na Fred Cheti Mkuu huyo wa…
10 May 2022, 3:44 pm
Ujenzi wa madarasa kata ya Suruke wakamilika
Na;Mindi Joseph. Ujenzi wa madarasa mawili ya shule ya Msingi Mluwa na sekondari Mto Bubu Kata ya Suruke Wilayani Kondoa yamekamilika baada ya kupata mgao wa shilingi milioni 182 za ujenzi wa madarasa hayo katika kuendelea kuboresha miundombini ya elimu.…
9 August 2021, 12:44 pm
KILIMO HIMILIVU NGUZO YA UZALISHAJI KWA WAKULIMA
Na,Mhindi Joseph Dodoma Tanzania Tanzania ni Miongoni mwa nchi inayokabiliwa na mabadiliko ya tabianchi kwani Asilimia 1 ya pato la Taifa inatajwa kupotea kila mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi huku ikikadiriwa kuwa watu milioni 1.6 wanaoishi ukanda wa…