Dodoma FM

KIKWETE

26 March 2021, 11:52 am

Magufuli atakumbukwa kwa utendaji wake

Na; Mariam Kasawa. Hayati Dkt.John Pombe Magufuli atakumbukwa kwa  utendaji kazi wake kwani alikuwa hodari tangu akiwa Waziri hadi  alipoteuliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hayo yamesemwa na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete…