Dodoma FM
KIKWETE
26 March 2021, 11:52 am
Magufuli atakumbukwa kwa utendaji wake
Na; Mariam Kasawa. Hayati Dkt.John Pombe Magufuli atakumbukwa kwa utendaji kazi wake kwani alikuwa hodari tangu akiwa Waziri hadi alipoteuliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hayo yamesemwa na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete…