Dodoma FM
kielectroniki
17 May 2022, 1:32 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kupima shinikizo la damu
Na ;Benard Filbert. Ikiwa leo ni maadhimisho siku ya shinikizo la damu jamii imetakiwa kujitokeza kupima shinikizo hilo ili kuepusha athari zinazoweza kujitokeza baadaye. Hayo yameelezwa na daktari Flora Mwakalabo kutoka kituo cha afya makole wakati akizungumza na taswira ya…
16 August 2021, 2:12 pm
Serikali yazindua mfumo wa kielectroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli…
Na; Fred Cheti. Serikali kupitia Ofisi ya Waziri mkuu (Sera ,bunge,kazi,ajira,vijana na watu wenye ulemavu) leo Agosti 16 imezindua mfumo wa kielektroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli za serikali. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika leo jijini Dodoma waziri mwenye…