jeshi la polisi
20 June 2022, 2:03 pm
Makulu waishukuru serikali kwa kutenga fedha kwaajili ya ujenzi wa barabara
Na; Alfred Bulahya. Uongozi wa kata ya Dodoma makulu jijini Dodoma umeishukuru Serikali kwa kuwapatia bilioni 10 na milioni 300, kwa ajili ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami, inayounganisha eneo la Chaduru, Njendegwa mashariki, Njedengwa magharibi, Medeli, Mwangaza…
26 May 2022, 9:14 am
Kingiti waiomba TARURA kuwatengenezea barabara za mitaani
Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa barabara za mitaa katika kata ya Kingiti imekuwa adha kubwa kwa wananchi hivyo wanaiomba mamlaka ya barabara za vijijini TARULA kuwasaidia kuchonga barabara hizo. Barabara za mitaa Ni muhimu katika jamii kwani zinasaidia kuweka mazingira…
25 August 2021, 1:08 pm
Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka jeshi la polisi kutenda haki na kutimiza maju…
Na ; Fred Cheti. Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani amelitaka jeshi la polisi nchini kutimiza majukumu yake imepasavyo kwa kutenda haki kwa jamii na kuepuka kutumia nguvu yake kuwakandakiza wananchi. Mhe. Samia ametoa wito…