huduma ya Afya
29 July 2021, 11:25 am
Masinyeti waomba Serikali iwasaidie kujenga zahanati
Na; Alfred Bulahya. Wananchi wa kijiji cha masinyeti Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwaunga mkono katika ujenzi wa zahanati ya kijiji ili kuwezesha kupata huduma za afya kijini hapo. Hayo yamebainishwa na wakazi wa kijiji hicho wakati wakizungumza na…
26 July 2021, 10:13 am
Wakazi wa Chamwino walalamikia ukosefu wa huduma bora za Afya kwa watu wa makund…
Na; Shani Nicolous. Wakazi wa Wilaya ya Chamwino jijini Dodoma wamelalamikia ukosefu wa huduma bora za afya kwa watu wa makundi maalumu kama wazee, watoto ,akina mama wajawazito na walemavu. Wakizungumza na Dodoma Fm kupitia kipindi cha Dodoma live wamesema…
27 April 2021, 11:39 am
Mpalanga wakabiliwa na changamoto ya wahudumu wa Afya
Na; Victor Chigwada Kituo cha afya kilichopo katika Kijiji cha Mpalanga Wilayani Bahi kinakabiliwa na upungufu wa wahudumu wa afya pamoja na mganga mkuu hali inayodhohofisha utoaji huduma. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi wa Kata hiyo wakati wakizungumza na…