Dodoma FM

huduma ya Afya

29 July 2021, 11:25 am

Masinyeti waomba Serikali iwasaidie kujenga zahanati

Na; Alfred Bulahya. Wananchi wa kijiji cha masinyeti Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwaunga mkono katika ujenzi wa zahanati ya kijiji ili kuwezesha kupata huduma za afya kijini hapo. Hayo yamebainishwa na wakazi wa kijiji hicho wakati wakizungumza na…

27 April 2021, 11:39 am

Mpalanga wakabiliwa na changamoto ya wahudumu wa Afya

Na; Victor Chigwada Kituo cha afya kilichopo katika Kijiji cha Mpalanga Wilayani Bahi kinakabiliwa na upungufu wa wahudumu wa afya pamoja na mganga mkuu hali inayodhohofisha utoaji huduma. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi wa Kata hiyo wakati wakizungumza na…