homa ya manjano
17 April 2023, 2:45 pm
Hospitali ya wilaya Bahi kuanza kutoa huduma za watoto Njiti
Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa halmashauri ya wilaya ya Bahi zaidi ya miaka kumi iliyopita, wananchi wameanza kupata huduma muhimu za afya ambazo walizifuata katika hospitali ya mkoa wa Dodoma lakini kwa sasa huduma zote zinapatikana wilayani Bahi.…
7 February 2023, 9:52 am
Hospitali ya Benjamini Mkapa imesaini makubaliano
Hospitali ya Benjamin Mkapa imesaini makubaliano ya ushirikiano wa kutoa huduma za upasuaji wa moyo kwa watoto na shirika lisilo la kiserikali la children’s heart charity association la Nchini kuwait. Na Mindi Joseph. Hii ni kufuatia matatizo ya moyo kwa…
21 March 2022, 2:06 pm
Wananchi waiomba serikali kupitia Wizara ya Afya kutoa elimu juu ya homa ya manj…
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi Mkoani Dodoma wameiomba serikali kupitia wizara ya afya kutoa elimu juu ya ugonjwa wa homa ya manjano na namna ya kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema…