Dodoma FM

Fahari

23 February 2023, 3:44 pm

Wakristo itumieni kwaresma kujipatanisha na Mungu

Lazima tufanye mazoezi ya kiroho kwa kutubu kidogo kidogo na hatimaye tuweze  kuacha dhambi kabisa, tusikubali kurudia katika dhambi. Na Bernad Magawa Wito umetolewa kwa wakristo  kukitumia vizuri kipindi cha kwaresma kuwa kipindi cha kufanya toba,  kujipatanisha kiroho na kumrudia…