EWURA
6 October 2021, 12:57 pm
EWURA yatangaza kupunguza tozo nane kwaajili ya kuwaletea unafuu wananchi
Na; Mindi Joseph . Mamlaka ya Nishati na Maji EWURA imetangaza kupunguza Tozo nane kwa ajili ya udhibiti wa EWURA na kuwaletea Unafuu wananchi. Akizungumza na Taswira ya habari Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Mhandisi Godfrey Chibulunje amesema wamefanya…
1 September 2021, 12:44 pm
EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta
Na;Mindi Joseph . Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei za mafuta kutokana na kubadilika kwa bei katika Soko la Dunia na gharama za uagizaji. Bei ya mafuta kupanda itaanza kutumika kuanzia leo…
24 June 2021, 9:38 am
EWURA yatoa msaada wa mashuka 431 katika vituo vinne jijini Dodoma
Na; Mindi Joseph . Katika kuhitimisha wiki ya utumishi wa umma mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) imetoa msaada wa mashuka 431 kwa vituo vinne vya afya jijini Dodoma kwa lengo la kusaidia kuboresha huduma za…