Dodoma FM

EWURA

1 September 2021, 12:44 pm

EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta

Na;Mindi Joseph . Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei za mafuta kutokana na kubadilika kwa bei katika Soko la Dunia na gharama za uagizaji. Bei ya mafuta kupanda itaanza kutumika kuanzia leo…