daraja
3 April 2024, 6:02 pm
Ujenzi wa daraja la Ng’ong’ona kufungua fursa za kiuchumi
Mikakati ya TARURA kuboresha Miundombinu ya barabara na madaraja katika mkoa wa Dodoma ili kurahisisha shughuli za kiuchumi. Na Fred Cheti.Ujenzi wa daraja la Ng’o’ng’ona lililopo katika Kata ya Ng’o’ng’ona Jijini Dodoma linalojengwa kwa teknolojia ya Mawe linatarajiwa kufungua fursa…
24 July 2023, 6:37 pm
Mikoa yote nchini yaagizwa kuadhimisha siku ya mashujaa
Maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yamekamilika katika eneo la Mtumba jijini Dodoma huku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kesho kuweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi wa eneo hilo. Na…
20 July 2023, 4:18 pm
Mashujaa kuadhimishwa kwa mara ya kwanza mji wa kiserikali Mtumba
Mkuu wa mkoa wa Dodoma amesema maadhimisho hayo yamekamilika kwa asilimia 100 ambapo amesisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuadhimisha siku hii muhimu ambayo inafanyika kwa mara ya kwanza katika kiwanja kipya kilichopo eneo la Mtumba. Na Mariam…
21 July 2022, 2:17 pm
Sherehe za mashujaa kitaifa kufanyika Jijini Dodoma
Na;Mindi Joseph. Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Katika Sherehe Za Mashujaa Ambayo Kitaifa Yatafanyika Jijini Dodoma. Akizungumza Katika Viwanja Vya Mashujaa Ambapo Sherehe Hizo Zitafanyika Mkuu Wa Mkoa Wa Dodoma Antony…
27 September 2021, 11:56 am
Mlali bondeni waendeleza jitihada za kutatua changamoto za miundombinu ya daraj…
Na ;Selemani Kodima. Uongozi wa kijiji cha Mlali bondeni wilayani Kongwa umesema unaendelea kuchukua jitihada za kutatua changamoto ya miundombinu ya daraja linalounganisha mlali – chibarau ili kusaidia kupunguza matukio ya ajali katika eneo hilo. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa…